Monday, December 19, 2011
RIHANNA & MAMA CHRIS BROWN LIVEEEEEEEE!
RIHANNA & MAMA CHRIS BROWN LIVEEEEEEEE!yaan wana'chat kam kawa on twitter na simu wanapigiana..
Sunday, December 18, 2011
Lady Gaga Edition iPad: Lady Gaga's Official iPad Giveaway!
Lady Gaga Edition iPad: Lady Gaga's Official iPad Giveaway!: Welcome to the official page of the new Lady Gaga edition iPad. For the next 72 hours we will be hosting an enormous giveaway . Every fan...
..supported by ellininog...
..supported by ellininog...
Thursday, December 8, 2011
aliyechukua nafasi ya RIHANNA kwa CHRIS BROWN!
hey bro millard,aliyechukua nafasi ya kwa cris b' anamzid rihana kwa uzuri??
..via my blogspot..ellininog..
..via my blogspot..ellininog..
Tuesday, November 22, 2011
RAHA YA CHRISTMAS HUWA HAIBADILIKI TAREHE!!
christmas ni sikukuu inayosheherekewa ktk pande zote za dunia hasa ni za ulaya na amerika.lakin ktk bara la afrika nalo lina muhamko wa hali ya juu na sikuu hii,na uzuri wa sikuu hii huwa haibadiliki tarehe ambalo ni jambo zuri kwa mtu kuipanga na mambo yake...ok jamani christmas ndo hiyo inakuja.
RAHA YA CHRISTMAS HUWA HAIBADILIKI TAREHE!!
christmas ni sikukuu inayosheherekewa ktk pande zote za dunia hasa ni za ulaya na amerika.lakin ktk bara la afrika nalo lina muhamko wa hali ya juu na sikuu hii,na uzuri wa sikuu hii huwa haibadiliki tarehe ambalo ni jambo zuri kwa mtu kuipanga na mambo yake...ok jamani christmas ndo hiyo inakuja.
Thursday, November 3, 2011
Tuesday, November 1, 2011
Neyo Vs Bruno Mars
Hey!!Ckiliza song la Neyo la one in million or miss independence Vs song la BRUNO mars la Grenade or just the way ur.!!Ni msanii gani aliyetisha na ni nan mwenye VOCAL nzuri
Neyo Vs Bruno Mars
Hey!!Ckiliza song la Neyo la one in million or miss independence Vs song la BRUNO mars la Grenade or just the way ur.!!Ni msanii gani aliyetisha na ni nan mwenye VOCAL nzuri
Monday, October 17, 2011
Thursday, September 22, 2011
KILA KITU KINAWEZEKANA,ISSUE NI KUJIPANGA TUU!!!
Hey friends...Jueni kuwa katika MAISHA kuna KUKOSA na KUPATA...So usiforce kitu ambacho kuwezi kukipata angali UWEZO wa kukipata hicho kitu huna...Na BAHATI ya mwenzio usilalie MLANGO wazi!!!Kama una NIA kweli ya kufanikiwa katika MALENGO YAKO,ishu ni KUPANGILIA MAMBO yako NA KUJIPANGA FLESH!!!Ni hayo tu..
...Tchaooo..
...Tchaooo..
Tuesday, September 20, 2011
ellininog: carling cup
ellininog: carling cup: leo kutakuwa na baadh ya mechi zitakazochezwa ktk viwanja mbalimbali nchin uiengereza.manchestes utd vs leeds..arsenal atacheza na timu ya d...
carling cup
leo kutakuwa na baadh ya mechi zitakazochezwa ktk viwanja mbalimbali nchin uiengereza.manchestes utd vs leeds..arsenal atacheza na timu ya daraja la pili.So tusubilie matokeo yake kwan hii michuano inahusisha timu kubwa za ligi kuu na timu ndogo.have a nice day..
TCHAOOO
TCHAOOO
Sunday, September 18, 2011
MAN UTD 3-1 CHELSEA..FT...Any COMMENTS....
Dah sijabahatiika kuicheck hii MECHI jamani...
..Am so pain...
..Am so pain...
KWANINI IWE BLUE MONDAY???
Imeitwa BLUE MONDAY...Unajua kwanini imeitwa BLUEMONDAY...
Nadhan kwa sabab ni MATUMIZ yasiyokuwa MPANGO kwa mtu..Ni matumizi yaliyo MABOVU hasa pale zinapokuja cku za J/mos na j/pili...Mtu anapofanya uoujaji wa hela kwa kutojali kitu kitakachomtokea MBELE yake hasa kwa siku km ya jumatatu iliyowakalia kushoto WATU wengi hasa kwa WAFANYA KAZI..
..Ni vizuri kutumia fedha vizuri ili isikutokee hii ishu ya BLUE MONDAY...
...Jumatatu njema jamani...
..Tchaoooo..
Nadhan kwa sabab ni MATUMIZ yasiyokuwa MPANGO kwa mtu..Ni matumizi yaliyo MABOVU hasa pale zinapokuja cku za J/mos na j/pili...Mtu anapofanya uoujaji wa hela kwa kutojali kitu kitakachomtokea MBELE yake hasa kwa siku km ya jumatatu iliyowakalia kushoto WATU wengi hasa kwa WAFANYA KAZI..
..Ni vizuri kutumia fedha vizuri ili isikutokee hii ishu ya BLUE MONDAY...
...Jumatatu njema jamani...
..Tchaoooo..
MAN UTD vs CHELSEA & sir.ALEX FURGUSON vs VILLA BOASMAN UTD vs CHELSEA & sir.ALEX FURGUSON vs VILLA BOAS
Sir.Alex furguson Vs Villa Boas
Man UTD Vs Chelsea
Aisee..Hii mechi ni nomaa rafiki zangu coz kila m1 anataka USHINDI..Sitaki kuongea MAMBO mengi we cha kufanya ni kuangalia MPIRA mpaka DK ya MWISHO alaf tuambizane hapo BAADAE.
..Tchaooo..
Man UTD Vs Chelsea
Aisee..Hii mechi ni nomaa rafiki zangu coz kila m1 anataka USHINDI..Sitaki kuongea MAMBO mengi we cha kufanya ni kuangalia MPIRA mpaka DK ya MWISHO alaf tuambizane hapo BAADAE.
..Tchaooo..
Saturday, September 17, 2011
UNAZITUMIAJE SIKU ZA JUMAMOSI NA JUMAPILI KWAKO???
Niaje,ni flesh eeeh...!!Hakuna mtu asiyezijua hizo siku za j/mosi & j/pili...Sasa hebu niambie unazitumiaje hizo siku kila zinapofika??
..Tchaooo..
..Tchaooo..
Weekend jamani!!Weekend!!!
Niaje wajameni!!Nadhan ni full na haina MAJANGAAA.....
..Weekend ndio hiyo imefika jamani km wa kujirusha mkajirushe lakini kwa malengo,kwa wale wenye FAMILIA jaribuni kutoka na familia zenu kwani MUNGU anawazidishia baraka pale unapoonesha UPENDO kwa FAMILIA yako...Na kwa wale msiokuwa na ishu yeyote ya kufanya au hujisikii kutoka ni vizuri ukakutana na MARAFIKI zako MKABADIRISHANA mawazao ya hapa na pale....
Ni hayo tuu...Nawatakia weekend njema yenye BARAKA na NEEMA..
...Tchaooo..
..Weekend ndio hiyo imefika jamani km wa kujirusha mkajirushe lakini kwa malengo,kwa wale wenye FAMILIA jaribuni kutoka na familia zenu kwani MUNGU anawazidishia baraka pale unapoonesha UPENDO kwa FAMILIA yako...Na kwa wale msiokuwa na ishu yeyote ya kufanya au hujisikii kutoka ni vizuri ukakutana na MARAFIKI zako MKABADIRISHANA mawazao ya hapa na pale....
Ni hayo tuu...Nawatakia weekend njema yenye BARAKA na NEEMA..
...Tchaooo..
Friday, September 16, 2011
The EXPANDABLE 2(2012)
Kuna MOVIE inatwa THE EXPANDABLE.Nan aliyeiona??Ni bonge la MOVIE...nadhan ilitoka mwaka 2010 bt cna uhakika..Movie hiyo ime ektiwa na MASTAR mbalimbali wakiwemo sylivester stallone rambo,Anorld shwesniger,jet lee,dolph rundering,bruce wills na wengineo..
..Kwa taarifa zilizojir hv karibuni kuwa wanajiandaa kutoa The Expandable2..Na kuwaongeza baadh ya ma'star wengine,wanaotarajiwa kuongezwa kwenye hiyo movie part2 ni chuck noris na van dame..Wengineo ni john travolta na nickorus cage
..So kaa tayar kwa hiyo movie itakayotoka 2012..
..Kwa taarifa zilizojir hv karibuni kuwa wanajiandaa kutoa The Expandable2..Na kuwaongeza baadh ya ma'star wengine,wanaotarajiwa kuongezwa kwenye hiyo movie part2 ni chuck noris na van dame..Wengineo ni john travolta na nickorus cage
..So kaa tayar kwa hiyo movie itakayotoka 2012..
Tanesco na MGAO wa UMEME
TANESCO walisema kwamba wanapunguza MAKALI ya MGAO wa UMEME unaoendelea hapa TZ..!!Sasa huko kupunguza huo mgao WANAKATA asubuh kurud jion au km wakihuachia wanauwacha kwa masimango yan WANAUKATAKATA tu,hamna raha yeyote ile..
..Damn it..
..Damn it..
ellininog: Ellininog's blogs..Is online now!!!
ellininog: Ellininog's blogs..Is online now!!!: Ellininog's blogs..Is online now!!!
Wednesday, June 1, 2011
ellininog: Hello!
ellininog: Hello!: "Comming soon!!!" my blogspots that's will contain The news,share&comment,sports,commedy story and more......!!!..Get ready.....
Tuesday, May 31, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)