Wednesday, April 10, 2013

RIP KHALIFA SHABANI"ZIZZOU"

Ni siku ya majonzi Tarehe 10/04/2013 pale Rafiki yetu..kaka yetu..ndugu yetu..mshikaji mwenzetu..Khalifa Shabani..Maarufu kama Khalifa Zizzou..Ametutoka DUNIANI..Hatuna budi kumshukuru Mungu Kwani yeye ndiye muweza wa kila kitu..
Kalale kwa AMANI kaka..
RIP khalifa Shabani...ZIZZOU