Tuesday, September 20, 2011

carling cup

leo kutakuwa na baadh ya mechi zitakazochezwa ktk viwanja mbalimbali nchin uiengereza.manchestes utd vs leeds..arsenal atacheza na timu ya daraja la pili.So tusubilie matokeo yake kwan hii michuano inahusisha timu kubwa za ligi kuu na timu ndogo.have a nice day..
TCHAOOO

No comments:

Post a Comment